Recent comments

Breaking News

Baada ya miaka 5,Naaziz amethibitisha kuvunjika kwa ndoa yake.

nazizi_son
Member wa kundi la Necessary Noise la Kenya na East Arican Bashmen Crew Nazizi Hirji amethibitisha kutengana na mume wake baada ya ndoa yaoambayo imedumu kwa takribani miaka mitano.

Baada ya kusambaa kwa taarifa hizo Nazizi amethibitisha juu ya taarifa hizo alipofanya mahojiano na moja ya kituo cha Nairobi na kuongeza kuwa hawezi kutoa taarifa zaidi lakini ifahamike ni kweli ndoa yao imefikia ukingoni.
Nazizi na aliyekuwa mume wake walifanikiwa kupata motto mmoja wa kiume ingawa bado wanaendelea kuzungumza licha ya ndoa yao kuvunjika.
Source:Nairobi wire&255 Clouds Fm.

No comments