DIAMOND, JOKATE KIMENUKA

Lile jembe la kubadilisha mastaa keshabadilisha kimwana chengine kama inavyosemekana na kuripotiwa na moja ya magezeti yetu.Kimwana huyo ni star wa bongo muvi ambaye ni Aunty Ezekiel.Diamond ni nouumah meen....anatumia ujana wake ipasavyo!
No comments