Recent comments

Breaking News

CHECHE AINGIA KWENYE KINYANGANYIRO CHA TUZO ZA AMVCA 2014

Mtanzania Juma Rajabu Rashid aka Cheche ni mmoja kati ya muigizaji katika moja ya Tamthilia inayopendwa Barani Afrika ‘Siri Ya Mtungi’ ameweza kuingia katika kinyanganyiro cha Africa Magic Viewers Choice Awards kama Muigizaji Bora wa kiume kwenye Tamhtilia.

Mashindano yatayafanyika nchini Nigeria katika mji wa Lagos mwezi wa tatu mwaka huu, kumbuka kumpigia kura Cheche kwa kutuma 2a kwenda namba +2783142100415 au kwenye mtandao-> htt: / / goo.gl / o72lu5 !

Kumbuka unaweza kupiga kura mara nyingi zaidi kila baada ya saa moja kama Muigizaji Bora wa kiume kwenye Tamthilia/ Drama!

No comments