Recent comments

Breaking News

MSANII AMANI WA KENYA AANIKA NYETI ZAKE JUKWAANI



Baada ya wasanii wa area code 255 (Bongo) kupata kasumba ya kuanika nyeti zao hadharani sasa zamu imehamia area code 254 (Kenya). Ambapo msanii wa muziki Amani ameanika nyeti zake hadharani akiwa hajavaa kufuli hivyo kusababisha maswali mengi kwa wadau wa tasnia hiyo na wapenzi wake nchini Kenya.

Huyu  ni  Msanii Amani  ambaye  amewahi  kuwa  na  mahusiano  na  Msanii  AY  wa  Tanzania

No comments