YOU HEARD IT........ BOB JUNIOR ANYAN'GANYWA GARI KWEUPEE
Yule mwenye rasha rasha za chocolate, Rais wa Masharobaro na mmiliki wa Sharobaro Rec. Mjini hapa inasemekana kwamba amenyang'anywa gari alilokuwa akitumia katika viwanja vyake, na mchizi aliyechukua gari hilo anaitwa Dallas
Habari zaidi huyu hapa Gossip Cop Soudy Brown U hearddddddd!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Samahani lakini.....mambo ya kibinadamu hayooooo.........
No comments