Mtoto wa Sheikh Yahya atabiri mabalaa!

Aidha, ametabiri mwaka huu kutokea njaa kali kutokana na jua kali na ukame kuikumba nchi, kutokea vifo vya ghafla vya viongozi wa kisiasa waliopo madarakani na viongozi wa dini kukumbwa na kashfa mbaya na za kutisha zitakazovunja hadhi zao.
Kadhalika ametabiri Rais Jakaya Kikwete kupata umaarufu mkubwa wa kisiasa na kushirikisha wapinzani katika shughuli kadhaa za kiserikali, huku amani, utulivu na mshikamano ukiendelea kushamiri Zanzibar.
No comments