Recent comments

Breaking News

Matokeo ya taifa stars na zimbabwe haya hapa.


Picture 110
Timu ya taifa ya tanzania TAIFA STARS le ilikua ikichuana na timu ya taifa ya zimbabwe,matokeo yametoka suluhu ya bila bila.

Picture 056
                                                Mashabiki wakifatilia mpira

Picture 115
                                Goli la Offside lililofungwa na zimbabwe.


Dakika 45 za mwanzo timu ya taifa ya TANZANIA ilikua ikiongoza mchezo kwa kuumiliki mpira kipindi kikubwa,mpira ulikuja kubadilika kipindi cha pili dakika za mwisho ambapo timu ya zimbabwe ilifanikiwa kupata goli lakini lilikua la offside.
Picture 070
           Makosa ya kimchezo ya wadau waliozungumza na www.bongohitz1.blogspot.com wamedai kuna baadhi ya wachezaji kama Erasto Nyoni na amri kyemba wamecheza chini ya kiwango.


Picture 079
                             Mpira ukiendelea.



Picture 116
                                                  Mlinda Mlango wa Taifa stars Ivo Mapunda.

Mpaka mpira unaisha timu zote zimetoka suluhu ya bila bila

No comments