EXCLUSIVE: KAMA ULIKUWA HUFAHAMU NOW BAAB KUBWA YAPIGA HODI KENYA
Magazine inayoongoza Bongo kwa habari za Burudani sasa imepiga hodi Kenya baada ya a lot of fans kulihitaji kwa sana nchini humo.
For the first time watalipata BK likiwa na Cover ya kufa mtu ya bootylicious Risper Faith ambaye ana bonge la mgongo unaowapagawisha a lot of men in Kenya.
Pamoja na 411 and Gossips pia lina stori tofauti tofauti za entertainment kwenye industry ya Kenya zitakazowabamba raia kinooooma! .
No comments