Exclusive:- Hivi ulisikiagaa kuhusu Tunda Man kupigiwa simu na shetani? Fanya kama unasikiliza hapa stori nzima kuhusu hiyo namba na huyo jini

Soudy Brown kaenda mbali zaidi kwa kuipiga ile namba kisha kuwapigia mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA kwa ajili ya muongozo juu ya hiyo namba.
88.5 Clouds Fm inasikika ukiwa Morogoro.
Bonyeza play kusikiliza.
Post Comment
No comments