Recent comments

Breaking News

T-MODELING AGENCY YAPATA ZALI SOUTH AFRICA

      Agency changa inayokuja kwa kasi kabisa ndani na nje ya nchi inayomiliki models 12 wanaofanya Photo-shooting na Fashion inayojulikana kama, T-MODELING AGENCY imeramba karata dume toka mwezi uliopita kwa kumpeleka mmoja wa mwanamitindo wake katika harakati za kuwatrain washiriki watakaoshindana katika mashindano ya umodo jijini Arusha, pia ikiwemo na kupata dili zingine tatu ambazo zitatangazwa baada ya masuala ya mkataba kukamilika.
 
      
Pia kwa habari zilizotufikia ni kwmba agency hiyo itampeleka mmoja wa modal wake kushiriki mashindano ya kimataifa nchini Afrika ya kusini mwezi Mei'2013..........Hii ni baada ya kufanya Photo-shooting na Fashion Design zilizokuwa na ubunifu na uasilia mwingi zaidi.


No comments