MASAHIRI YA NYIMBO YA NEY WA MITEGO FEAT DIAMOND "MUZIKI GANI"
 
SONG:
MUZIKI GANI 
ARTIST:
NEY WAMITEGO FEAT DIAMOND
PRODUCER:
MR TOUCH
CHORUS
Hivi nyi ma mc mnachoimba kitu gani,
mara bangi mara matusi sa ndo muziki gani (diamond).
Hii no hip-hop h.o.p muasisi wa burudani, tushachoshwa kutwa mapenzi, kabane Pua nyumbani (ney) X2
Hii no hip-hop h.o.p muasisi wa burudani, tushachoshwa kutwa mapenzi, kabane Pua nyumbani (ney) X2
DIAMOND
Hata bibi yangu mi aliniambia ,
mwanamke anahitaji kubembelezwa 
Kupetipeti matunzo pia, ukienda rafu
utampoteza,
Muziki ni mfano wa binti muzuri,
Na ndio maana namtunza kwa   vazi na uturi
NEY
WA MITEGO 
Aaah piga kimya, we ndo haufai
kabisa hauna maana
Wabana pua kila siku mnarogana, bibi
yako alikuambia muziki ni kama binti
Mara wema, mara Jo keti, mara Naj,
mara Penny, je mnafanya mziki mpate mabinti
DIAMOND
Uuuhhuuuu, hata wazee wazamani, walishasemaga
kazi na dawa 
Chamuhimu jukwaani, ni kuhakikisha
wanapagawa, 
Kwa michezo ya kuringa ringa  ndo huwa wanadata
Badilika usiwe mjinga, utawakamata 
CHORUS
Hivi nyi ma mc mnachoimba kitu gani,
mara bangi mara matusi sa ndo muziki gani (diamond).
Hii no hip-hop h.o.p muasisi wa burudani, tushachoshwa kutwa mapenzi, kabane Pua nyumbani (ney) X2
Hii no hip-hop h.o.p muasisi wa burudani, tushachoshwa kutwa mapenzi, kabane Pua nyumbani (ney) X2
NEY
WA MITEGO 
Muziki wenu ushirikina ndio
umetawala, q chilla analalama anasema umemroga
 Mganga wako aliekutoa umemkimbia
hujalipa,  bila skendo za magazeti basi
huskiki
DIAMOND
Mi ni mti wenye matunda, milele
siogopi kupigwa mawe 
Ubaya wenu wengi kayumba, elimu
mliitupa sandakalawe 
NEY
WA MITEGO
Bado hujanishawishi, bongo fleva
inanipa kichefu chefu 
Kwanza nyie malimbukeni wa umaarufu 
Mnalenta maringo mpaka kwa mashabiki
, Wabana pua nyie watoto sio riziki,
Mnavaa nguo za dada zenu, zinawabana
mapaja nyie makaka duu
Aah nyie watoto mchele mchele ,
kwenye show viuno mbele mbele X2
Nimewanyamazisha, brazameni
vipi  we bado unabisha
DIAMOND
Mi nnamengi nnayajua, ila we ni
mtemi utaanzisha utata
Michezo yenu kutoboa pua, bora
ninyamaze usinipige mbata 
No comments