Recent comments

Breaking News

HIVI NDIVYO KIM KARDASHIAN ALIVYOWATUKANA WANIGERIA KWA KUWAITA MANYANI "MASOKWE"



Kim Kardashian kweli? Ni kweli kaitukana Nigeria kiasi hiki? Tweet yake inayodaiwa aliiandika jana imeleta shida kubwa kwa wananchi wa Nigeria na Afrika kwa ujumla baada ya kutweet:

kim

.
Hii ndio tweet feki, ufeki wake unakuja kwa huo mstari hapo juu unaotenganisha namba za followers na tweet, hizi ni picha zimeunganishwa manake pia hiyo sehemu fans waliyoretweet isingeonekana kirahisi, tazama muonekano kama huu hapa chini, kama kweli ingekua katweet yeye ingeonekana kama hapa chini inavyoonekana.
.
.
Hiki ndicho cha kweli alichotweet Kim Kardashian sasa hivi.
.
.
.
Si tu alisema Nigeria ni nchi inayokera lakini pia anasema wanawake wake wanafanana na sokwe!! 

Hata hivyo Kim amekanusha kuandika tweet hiyo na kusema imetengenezwa. “I see there’s a photo shopped tweet floating around, supposedly something I said about Nigeria. That was NOT me, or my feelings. That fake tweet is very disturbing & I would NEVER EVER tweet something like that.”

Hiyo sio mara ya kwanza msanii wa Marekani kuidiss Afrika. November 21 mwaka jana , Keri Hilson aliingia matatani baada ya kuidiss Ghana:
keri-hilson-africa-tweet
hilson1d710
Naye alikanusha kwa kudai kuwa tweet hiyo ilitengenezwa.
keri-tweet-response

No comments